Baada ya mechi FA wanamuona Keane akiwa na hatia, anafungiwa mechi 3 na kumtoza paundi 5000 kama adhabu 2000 Roy Keane anaachia kitabu ambacho ndani yake alitoa maelezo kuwa rafu aliyomchezea Haland ilikuwa ya makusudi na wala hajutii kumchezea hiyo rafu mbaya kwa vile ni kitu alichokuwa amedhamiria kwa miaka mingi mno! FA baada ya kuona maelezo hayo inaamua kumpa tena adhabu ya kumfungia Roy Keane mechi 5 na faini ya paundi 150,000 Baada ya hiyo rafu Haland anaanza kuwa katika kipindi kigumu kutokana na kuumwa mguu mara kwa mara, kiasi kwamba anatumia muda mwingi akiuguza majeraha yake...July 2003 Haaland anatangaza rasmi kustaafu soka 2007 Haland anawaita waandishi wa habari na kuwaambia kuwa alishindwa kuendelea kucheza mpira kutokana na rafu ya Roy Keane, alisema hivyo kwa kuwa mwanzoni alisema kuwa Keane aliuchezea rafu mguu wa kulia ambao haukuwa na tatizo ila tatizo lilikuwa mguu wa kushoto ambao ulikuwa unamsumbua kwa muda mrefu Japokuwa alikuwa anapinga hilo suala, madaktari walimuambia chanzo cha tatizo lilikuwa rafu ya Keane...baada ya kubisha ilibidi 2007 akiri kuwa ni kweli rafu hiyo ya Keane ndiyo ilikuwa chanzo cha yeye kuharibikiwa kwenye maisha yake ya soka Thanks Roy Keane.
TUMECHOKA UWONGO WENU WENU KEANE VS HAALAND
Baada ya mechi FA wanamuona Keane akiwa na hatia, anafungiwa mechi 3 na kumtoza paundi 5000 kama adhabu 2000 Roy Keane anaachia kitabu ambacho ndani yake alitoa maelezo kuwa rafu aliyomchezea Haland ilikuwa ya makusudi na wala hajutii kumchezea hiyo rafu mbaya kwa vile ni kitu alichokuwa amedhamiria kwa miaka mingi mno! FA baada ya kuona maelezo hayo inaamua kumpa tena adhabu ya kumfungia Roy Keane mechi 5 na faini ya paundi 150,000 Baada ya hiyo rafu Haland anaanza kuwa katika kipindi kigumu kutokana na kuumwa mguu mara kwa mara, kiasi kwamba anatumia muda mwingi akiuguza majeraha yake...July 2003 Haaland anatangaza rasmi kustaafu soka 2007 Haland anawaita waandishi wa habari na kuwaambia kuwa alishindwa kuendelea kucheza mpira kutokana na rafu ya Roy Keane, alisema hivyo kwa kuwa mwanzoni alisema kuwa Keane aliuchezea rafu mguu wa kulia ambao haukuwa na tatizo ila tatizo lilikuwa mguu wa kushoto ambao ulikuwa unamsumbua kwa muda mrefu Japokuwa alikuwa anapinga hilo suala, madaktari walimuambia chanzo cha tatizo lilikuwa rafu ya Keane...baada ya kubisha ilibidi 2007 akiri kuwa ni kweli rafu hiyo ya Keane ndiyo ilikuwa chanzo cha yeye kuharibikiwa kwenye maisha yake ya soka Thanks Roy Keane.
Post a Comment