The flames wanaotamba na mfumo wa 4_1_2_3 wakimtegemea
Joseph Kamwendo toka TP Mazembe nafasi ya kiungo ya chini , watakwaana
na miamba ya taifa Stars chini ya Boniface Mkwasa ambaye anaonekana
kujiamini sana na kikosi chake .
Taifa Stars almaarufu kama JK boys au ukipenda waite " the blues of Africa " hawana cha kupoteza leo mbele ya wanyasa hao.
Boniface the master of wide formations in Tanzania leo anaweza akaja na 4_3_3 , 4_2 _3_1 ama akawaacha Ngasa na Samata waunganishe nguvu mbele chini wakipewa back up na Ulimwengu katika 4_2_1_3.
Chachu ya mkataba mnono jana inampa hamasa Mkwasa kukipanga kikosi vyema lakini pia kuimarika kwa Ngasa, Mwinyi Kazimoto na ukali wa Samata katika utupiaji vinazidi kuipa turufu stars.
Wanaume 11 uwanjani watachagizwa na hamasa za mamia ya watanzania wakiongozwa na group maarufu la Taifa Stars Supporters lililojiandaa vyema kuwapa ari , motisha na hamasa vijana wetu.
Tahadhari kubwa kwa stars ni uchezaji wa the flames hasa wanapomaliza half line, huingia kwa kasi kwa pasi fupi fupi ama long balls kupitia flanks wakiwategemea washambuliaji wao maarufu kama Robinson Ngalande, Nyondo na Chiukepo wakipikiwa vyema na Midfielders zao kama Joseph Banda , Frank Banda na yule mwenye kasi ya ajabu mtaalamu wa switching Chimango Kayira dogo wa mwaka 1993 .
Mungu ibariki Tanzania
Taifa Stars almaarufu kama JK boys au ukipenda waite " the blues of Africa " hawana cha kupoteza leo mbele ya wanyasa hao.
Boniface the master of wide formations in Tanzania leo anaweza akaja na 4_3_3 , 4_2 _3_1 ama akawaacha Ngasa na Samata waunganishe nguvu mbele chini wakipewa back up na Ulimwengu katika 4_2_1_3.
Chachu ya mkataba mnono jana inampa hamasa Mkwasa kukipanga kikosi vyema lakini pia kuimarika kwa Ngasa, Mwinyi Kazimoto na ukali wa Samata katika utupiaji vinazidi kuipa turufu stars.
Wanaume 11 uwanjani watachagizwa na hamasa za mamia ya watanzania wakiongozwa na group maarufu la Taifa Stars Supporters lililojiandaa vyema kuwapa ari , motisha na hamasa vijana wetu.
Tahadhari kubwa kwa stars ni uchezaji wa the flames hasa wanapomaliza half line, huingia kwa kasi kwa pasi fupi fupi ama long balls kupitia flanks wakiwategemea washambuliaji wao maarufu kama Robinson Ngalande, Nyondo na Chiukepo wakipikiwa vyema na Midfielders zao kama Joseph Banda , Frank Banda na yule mwenye kasi ya ajabu mtaalamu wa switching Chimango Kayira dogo wa mwaka 1993 .
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Taifa Stars
Samuel Samuel



Post a Comment