Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: CARRICK ASEMA WAPO PAMOJA NA KOCHA BEGA KWA BEGA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Nahodha msaidizi wa Manchester United, Michael Carrick amelalamika tuhuma kuwa hawachezi vizuri ili kulinda kibarua cha kocha wao. Wachezaj...

Nahodha msaidizi wa Manchester United, Michael Carrick amelalamika tuhuma kuwa hawachezi vizuri ili kulinda kibarua cha kocha wao.
Wachezaji wa Man United wamelaumiwa baada ya kupoteza mchezo wanne mfululizo dhidi ya stoke city kwa kuchapwa mabo 2-0.
Nahodha huyu amesema "Ni ukosefu wa nidhamu kusema wachezaji hawajitumi kadri ya uwezo wao kwa ajili ya kocha Luis Van Gaal, inaumiza sana sisi sio binadamu wa aina hiyo."
Man United watashuka dimbani dhidi ya Chelsea katika mchezo unaofuta huku shinikizo kubwa likiwa kwa kocha wa kikosi hicho Luis Van Gaal

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top