Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: KOCHA WA TOTENHAM POCHETTINO KURITHI MIKOBA YA VAN GAAL
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Ebwana gazeti la The Sun la Uingereza February 9 limetaja jina la kocha mpya na sio Jose Mourinho kuwa ndio atajiunga na Man United kurithi ...

Ebwana gazeti la The Sun la Uingereza February 9 limetaja jina la kocha mpya na sio Jose Mourinho kuwa ndio atajiunga na Man United kurithi nafasi ya Louis van Gaal mwishoni mwa
msimu,
The Sun Sport linataja jina la kocha wa Tottenham
Hotspur Pochettino ndio atarithi nafasi ya Louis van Gaal

Kitu kinachoshangaza kuhusu stori za Pochettino kujiunga na
Man United ni kwa sababu kocha huyo hana wakala, sasa
swali linakuja ni nani anafanya mawasiliano ya kumuwakilisha
kwa uongozi wa Man United ?

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top