Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: MAN UNITED KUIKARIBISHA ZORYA EUROPA LEO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Leo Manchester United inashuka dimbanai kuvaana na Zorya Europe league mzunguko wa pili kundi A .. Zorya inashika nafasi ya pili kwenye lig...

Leo Manchester United inashuka dimbanai kuvaana na Zorya Europe league mzunguko wa pili kundi A ..
Zorya inashika nafasi ya pili kwenye ligi kuu Ukraine  nyuma ya Shakhtar Donetsk .. si timu ya kuibeza sana ni wazuri na wana record nzri katika mechi zao tano zilizopita ( W 2, L 1 , D 2 )..

Kwa Historia kati ya ya Manchester United na Zorya ni kuwa hazijawahi kukutana leo ndio itakuwa ni mara yao ya kwanza kukutana. .

HABARI ZA TIMU

Kiuongo mshambuliaji wa Manchester United Henrikh Mkhytaryan amerejea kwenye mazoezi ila  kunauwezekano mkubwa kutokucheza mechi ya leo. .. na vile vile luke Shaw bado ni majeruhi na ataendelea kukaa nje ...  Anthony Martial amepona majeraha na piah kunauwezekano mkubwa wa kucheza game ya leo .

Alipoulizwa kocha wa Manchester United kuhusu Ibrahimovic. .alisema yupo fiti na Kunauwezekano wa kuanza mechi ya leo

Msimamo wa Kundi letu ulivyo. .

1) Feyenoord    pts 3
2) Fenerbahce  pts  1
3 )  Zorya           pts   1
3) Manchester  pts   0

Mechi ya leo ni muhimu sana kushinda

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top