Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: BENITEZ RASMI AFUKUZWA MADRID
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Real Madrid inatarajia kumfukuza kazi kocha wao Rafael Benitez baada ya club yao kuwa kwenye misukosuko ya kimatokeo na kiuongozi. Real Madr...

Real Madrid inatarajia kumfukuza kazi kocha wao Rafael Benitez baada ya club yao kuwa kwenye misukosuko ya kimatokeo na kiuongozi. Real Madrid kwa sasa ipo namba 3 kwenye msimamo wa ligi nyuma ya Barcelona na Atletico Madrid.

Benitez amejikuta kwenye pressure baada ya matokeo mabovu na kutokuelewana na wachezaji nyota hasa Ronaldo tangu aanze kukiongoza kikosi hicho. Rais wa club hiyo aliita meeting ya board ya club na baadae itafuatiwa na press conference ya kutoa taarifa.

Mtu ambae anatarajiwa kuchukua mikoba ya Benitez hadi mwisho wa msimu ni Zinedine ZIdane ambae alikua kocha wa kikosi cha vijana cha Real Madrid. Lakini inasemekana Jose Mourihno anatarajiwa kurudi mwishoni mwa msimu huu.

Rais wa club ya Real Madrid anabaki kuwa shabiki mkubwa wa kocha Jose Mourihno ambapo inaonekana kuwa ndio option pekee kwa club hiyo kwa sasa. Mara kadhaa rais wa club amekua akimpa support kocha wao licha ya kuwa na matokeo mabaya lakini hivi sasa imefika mwisho. Kama akifukuzwa itakua amedumu kwa muda wa miezi 6 tu.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top