Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: JE Ni KWELI CHELSEA ITASHUKA DARAJA?
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kuna uwezekano kuwa Chelsea ikashuka daraja, amesema kocha wa muda wa klabu hiyo Guus Hiddink. Chelsea wapo katika nafasi ya 14 kwenye msima...

Kuna uwezekano kuwa Chelsea ikashuka daraja, amesema kocha wa muda wa klabu hiyo Guus Hiddink. Chelsea wapo katika nafasi ya 14 kwenye msimamo, pointi sita kutoka timu tatu zilizopo mkiani, na mechi zao mbili zijazo ni dhidi ya Everton na Arsenal.
"Ni ukweli uliopo," amesema Hiddink, ambaye alichukua nafasi ya Jose Mourinho mwezi Disemba.
"Tuna mechi mbili ngumu.
"Usipopata pointi katika hizo, hujui timu nyingine zitafanyaje. Ligi Kuu inaweza kukushangaza." ameongeza Hiddink.
Chelsea walikuwa pointi moja juu ya ukanda wa kuteremka daraja, wakati Mourinho alipoondoka.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top