Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: JEROME VALKE AFUKUZWA KAZI FIFA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Sirikisho la Soka Duniani Fifa limemfukuza kazi katibu mkuu wake Jerome Valke. Valke, 55, raia wa Ufaransa, kwa sasa anatumikia adhabu ya k...

Sirikisho la Soka Duniani Fifa limemfukuza kazi katibu mkuu wake Jerome Valke.
Valke, 55, raia wa Ufaransa, kwa sasa anatumikia adhabu ya kupigwa marufuku kujihusisha na shughuli zozote za soka, kutokana na tuhuma za kunufaika na uuzaji wa tiketi za Kombe la Dunia. Fifa imependekeza kuwa apigwe marufuku kujihusisha na soka kwa miaka tisa. Valke, ambaye pia anakabiliwa na tuhuma za rushwa, anakanusha madai yote hayo.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top