Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: MAN CITY WAFANYA USAJILI WA KWANZA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Manchester City wamemsajili Anthony Caceres kutoka klabu ya Central Coast Mariners ya Australia. Kiungo huyo wa kati, 23, alijiunga na Marin...

Manchester City wamemsajili Anthony Caceres kutoka klabu ya Central Coast Mariners ya Australia. Kiungo huyo wa kati, 23, alijiunga na Mariners mwaka 2012, akipachika mabao matatu katika mechi 62. Meneja wa Mariners, Tony Walmsley amesema: "Tulipomnunua, kipaji chake kilikuwa wazi. Uhamisho huu unaonesha jinsi alivyopevuka. Tunahitaji kufurahi, wakati wachezaji wakiuzwa kwenda timu kubwa."
Huu ni usajili wa kwanza kwa Manchester City katika dirisha hili la usajili.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top