Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: YANGA YAIFUMUA AFRICAN SPORTS NA KURUDI KILELENI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga imerudi tena kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo Kwa kuitandika bila huruma African...
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga imerudi tena kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo Kwa kuitandika bila huruma African Sports ya Tanga bao 5-0
Magoli ya Yanga yalifungwa na Kelvin Yondani, Donald Ngoma, Amis Tambwe ambaye amefunga magoli mawili pamoja na Anthony Matheo.

Ushindi wa bao 5-0 walioupata Yanga dhidi ya African Sports ya Tanga, umewarejesha kwenye nafasi ya kwanza ya msimamo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara.


About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top