Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: JAMIE VARDY KUIKOSA MAN UNITED OLD TRAFFORD
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mshambuliaji wa Uingereza Jamie Vardy atakosa mchezo wa ligi kuu kati ya Leicester City dhidi ya Manchester United Jumapili baada ya kuonge...
Mshambuliaji wa Uingereza Jamie Vardy atakosa mchezo wa ligi kuu kati ya Leicester City dhidi ya Manchester United Jumapili baada ya kuongezewa adhabu kutokana na utovu wa nidhamu.

Vardy alimkaripia mwamuzi wa mechi Jon Moss baada yake kuoneshwa kadi nyekundi wakati wa mechi yao dhidi ya West Ham tarehe 17 Aprili ambayo iliisha sare ya 2-2.

Baada ya kukosa mechi ya Jumapili ambayo Leicester walishinda 4-0 dhidi ya Swansea, Vardy sasa pia atakosa mechi hiyo ya jumapili.

Mchezaji huyo wa miaka 29 pia amepigwa faini ya £10,000.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top