Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: AZAM v SIMBA KUPIGWA SEPTEMBA 21 UWANJA WA TAIFA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) kati ya Azam FC na Simba ya Dar es Salaam, utafanyika Jumatano Septemba 21, 2016 badala ya...

Mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) kati ya Azam FC na Simba ya Dar es Salaam, utafanyika Jumatano Septemba 21, 2016 badala ya Septemba 17, mwaka huu.

Mchezo huo utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, umesogezwa mbele kuipisha timu ya taifa ya Congo-Brazzaville ipate nafasi ya kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa Taifa, ikiwa ni kutekeleza matakwa ya kanuni za mchezo wa mpira wa miguu za kimataifa kwamba mwenyeji lazima aachie uwanja siku moja au saa 24 kabla ya mchezo wa ushindani.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top