Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: USAJILI EPL WAFIKIA ZAIDI YA BILIONI MOJA KWA MARA YA KWANZA.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Matumizi ya fedha kwenye usajili katika Ligi Kuu ya England yamepita pauni BILIONI moja kwa mara ya kwanza. Hii inamaanisha timu 13 kati ya ...

Matumizi ya fedha kwenye usajili katika Ligi Kuu ya England yamepita pauni BILIONI moja kwa mara ya kwanza. Hii inamaanisha timu 13 kati ya 20 ZIMEVUNJA REKODI ZAKE ZA UHAMISHO msimu huu. Ifuatayo ni orodha ya wachezaji na timu walizokwenda pamoja na ada ya uhamisho ambao umevunja rekodi za klabu katika kununua mchezaji mmoja.

Manchester United: Paul Pogba (£93.25m)

Liverpool: Sadio Mane (£36m)

Crystal Palace: Christian Benteke (£32m)

West Ham: Andre Ayew (£20.5m)

Leicester: Ahmed Musa (£16m)

Southampton: Sofiane Boufal (£16m)

Swansea: Borja Baston (£15.5m)

Bournemouth: Jordon Ibe (£15m)

Sunderland: Didier N'Dong (£13.6m)

Hull: Ryan Mason (£13m)

West Brom: Nacer Chadli (£13m)

Watford: Roberto Pereyra (£13m)

Burnley: Jeff Hendrick (£10.5m)

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top