Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: YANGA TAYARI KUIVAA NDANDA FC JUMATANO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kikosi cha mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara VPL Yanga wanaondoka kesho kuelekea mtwara kucheza na Ndanda Fc. Wachezaji wa Young ...

Kikosi cha mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara VPL Yanga wanaondoka kesho kuelekea mtwara kucheza na Ndanda Fc.

Wachezaji wa Young Africans  watakao ondoka  kuelekea Mtwara kwaajili ya mechi na Ndanda FC ni ;

Makipa
1. Ali Mustafa
2. Beno Kakolanya

Walinzi
3. Juma Abdul
4. Hassani Kessy
5. Haji Mwinyi
6. Oscar Joshua
7. Vicenti Andrew
8. Kelvin Yondani
9. Nadir Haroub

Viungo
10. Saimoni Msuva
11. Yusufu Mhilu
12. Mbuyu Twite
13. Deusi Kaseke
14. Juma Makapu
15. Thabani Kamusoko
16. Juma Mahadhi

Washambuliaji
17. Obrey Chirwa
18. Donald Ngoma
19. Mateo Antony
20. Amisi Tambwe

Hii ndio orodha ya wachezaji 20 walio andaliwa na mwalimu kuicheza mechi ya jumatano dhidi ya Ndanda .

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top