Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: NGOMA AREJEA KUIVAA NDANDA FC LEO HII
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Baada ya kutoka sare na Africana lyon Mwalimu George aja kivingine leo hii. Kamusoko aanzia benchi uku Emmanuel akianza kwenye kikosi cha k...

Baada ya kutoka sare na Africana lyon Mwalimu George aja kivingine leo hii.
Kamusoko aanzia benchi uku Emmanuel akianza kwenye kikosi cha kwanza dhidi ya Ndanda Fc.
Kikosi cha Yanga SC leo dhidi ya Ndanda fc kitakuwa hivi

1. Deogratius Munishi
2. Juma Abdul
3. Mwinyi Haji
4. Kelvin Yondani
5. Vicent Bossou
6. Saidi Juma
7. Saimoni Msuva
8. Haruna Niyonzima
9. Amisi Tambwe
10.Donald Ngoma
11. Emmanuel

Akiba
- Ali Mustafa
- Thaban Kamusoko
- Andrew Vicent
- Justin Zullu
- Obrey Chirwa
- Deus Kaseke
-Geofrey Mwashiuya

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top