Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: SAKATA LA SIMBA , MDHAMINI NA TFF
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
"Kama mtendaji mkuu niliwafafanunulia na haya yanayoendelea hayana afya , na bodi ya ligi ipo kwaajili ya klabu na kama kuna mmiliki wa...


"Kama mtendaji mkuu niliwafafanunulia na haya yanayoendelea hayana afya , na bodi ya ligi ipo kwaajili ya klabu na kama kuna mmiliki wa chombo ana hoja basi anapatiwa ufafanuzi”

"Tumekuwa na mafunzo mengi ya kuelimishana  namna bodi ya ligi inafanya  kazi na klabu ”

"Ila bodi tumesikitishwa sana na bodi tulitumia haki ya msingi lakini kuona barua inatembea katika vyombo vya habari tumesikitishwa sana”

Mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Almasi Kasongo

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top