Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: KIKOSI CHA STARS KITAKACHOIVAA MALAWI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kocha Charles Boniface Mkwasa ametangaza kikosi ambacho kitaingia kambini Alhamisi tayari kuanza kujiwinda kwa ajili ya Malawi. Star...
Kocha Charles Boniface Mkwasa ametangaza kikosi ambacho kitaingia kambini Alhamisi tayari kuanza kujiwinda kwa ajili ya Malawi.


Stars itashuka dimbani Oktoba 9 kuivaa Malawi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mechi yake ya kwanza kuwania kucheza Kombe la Dunia.

Kikosi kimetangazwa leo na Kocha Msaidizi, Hemed Morocco.

Makipa:
Ally Mustapha, Aishi Manula na Said Mohammed.

Mabeki:
Nadir Haroub, Kelvin Yondani, Mohammed Hussein, Hassan Isihaka, Juma Abdul, Shomary Kapombe na Mwinyi Haji.

Viungo:
Himid Mao, Said Ndemla, Salum Telela, Frank Domayo, Mudathir Yahya, Simon Msuva na Deus Kaseke

Washambuliaji:

Rashid Mandawa, John Bocco, Mrisho Ngassa, Mbwana Samatta, Thomas Ulimwengu na Farid Mussa.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top