Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: KWELI SIKIO LA KUFA ALISIKI DAWA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Nidhamu mbovu ya Kiongozi wa team ya Mbeya city. msimu mmoja tu umepita tangu Nyoso apewe adhabu kwa kosa la kumdhalilisha Maguri, kwa ...

Nidhamu mbovu ya Kiongozi wa team ya Mbeya city. msimu mmoja tu umepita tangu Nyoso apewe adhabu kwa kosa la kumdhalilisha Maguri, kwa mara nyingine tena mchezaji na nahodha wa Mbeya city Juma Nyoso amerudia tena kosa lilelile alolifanya msimu uliopita, kiukweli anaonyesha hali yakutofahamu baada yakuonyesha tena nidhamu yake ile ile kama ya msimu uliopita kitendo kile kile alichokifanya amekifanya tena msimu huu Nyoso hastahili hata kuwa Captain wa team hii.
Hii inaonyesha kweli kuwa hii ni tabia yake na nadhani ni ngumu kuiacha kwani kila mmoja wetu anajua kuwa tabia ni kama ngozi uwezi iacha popote utakapo kuwa.
TFF tunawaamini tunaomba sheria zifuate mkondo wake pia jitaidini kumtafutia huyu mchezaji watu wa saikolojia maana ni ishara kubwa kwamba huyu Juma akukulia katika maadili sahihi kabisa na kwa kuonyesha haya yote tunaomba sana tena sana adhabu iwe kubwa na kali kwake ili iwe fundisho kwa wale wote wenye tabia kama hii na zile zote ambazo sio sahihi kiimadili yetu ya kiafrika pamoja na soka kwa ujumla.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top