Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: LUKE SHAW KUFANYIWA OPERATION YA PILI JIJINI EINDHOVEN
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Baada ya kupigwa X-Rays madaktari waligundua kwamba Beki wa Man United,Luke Shaw ameweza kuvunjika mfupa wake Mara mbili pindi alipoc...
Baada ya kupigwa X-Rays madaktari waligundua kwamba Beki wa Man United,Luke Shaw ameweza kuvunjika mfupa wake Mara mbili pindi alipochezewa rafu mbaya na mchezaji wa Psv Eindhoven Moreno katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Alipata jeraha hili katika mguu wake wa kulia na usiku ule ule wa Jumanne aliweza kufanikiwa operation ya kwanza ndogo ambayo ilikuwa ya kunyosha mfupa ambao ulisogea,baada ya hapo Juzi jioni uongozi ulikaa na madaktari waka shauri kwamba Shaw lazima afanyiwe operation ya kuunga mfupa haraka iwezekanavyo.

 Luke Shaw atafanyiwa operation ya pili siku ya leo Ijumaa katika mji wa Eindhoven na baada ya hapo anatarajia kurujea Nyumbani,Manchester siku ya Jumamosi ya wiki hii.

SIO VIBAYA KUFANYA MAOMBI KWAAJILI YAKE,UGUA POLE KIJANA WETU MUNGU YUPO PAMOJA NA WEWE.


GET WELL SOON LUKE SHAW

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top