Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: HAKUNA KAMA YANGA YAIPIGA APR KWAO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya klabu bingwa barani Africa Na mabingwa wa Ligi kuu Tanzania bara Yanga SC wameanza vizuri hatua...
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya klabu bingwa barani Africa Na mabingwa wa Ligi kuu Tanzania bara Yanga SC wameanza vizuri hatua ya kwanza ya michuano hiyo kwa kuwafunga wenyeji APR ya Rwanda bao 2-1.

Juma Abdul aliiandikia Yanga Goli la kwanza kwa shuti kali mnamo dakika ya 20 kwa mpira wa adhabu ndogo.

Thaban Kamusoko akafunga bao la pili baada y pasi nuri ya Donald Ngoma 





Mnamo dakika ya 90 Patrick Sibomana aliwafuta Machozi apr kutokana na makosa ya golikipa wa Yanga Ally Mustafa ambaye aliutema mpira kwenye miguu yake
Yanga itakuwa nyumbani kuikaribisha APR FC kwenye mchezo wa marudiano utakaochezwa March 19, 2016 kwenye uwanja wa taifa, Dar es Salaam.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top