Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: AZAM YAIFUNGULIA NJIA YANGA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, jana jioni imelazimishwa sare ya mabao 2-2 na JKT Ruvu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vo...
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, jana jioni imelazimishwa sare ya mabao 2-2 na JKT Ruvu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) uliofanyika katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
 
Matokeo hayo yamefifisha mbio za Azam FC za kuwania ubingwa wa ligi kwani vinara Yanga wanahitaji ushindi wowote

Mabao ya Azam  yaliwekwa wavuni na mapacha Michael Bolou aliyefunga bao la kwanza dakika ya 31 na Kipre Tchetche dakika ya 37, wote wakipokea pasi safi kutoka kwa Himid Mao ‘Ninja’, ambaye kipindi hicho alicheza kama winga wa kulia.

Jkt ruvu walisawazisha magoli yao kupitia kwa Saady Kipanga na  Najim Magulu Mpaka dakika 90 Azam 2- 2 Jkt

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top