Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: REAL MADRID YAICHAPA MAN CITY NA KUTINGA FAINAL
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Real Madrid imefanikiwa kutinga fainali ya klabu bingwa barani Ulaya kwa mara ya pili ndani ya kipindi cha miaka mitatu baada ya kuifunga ...
Real Madrid imefanikiwa kutinga fainali ya klabu bingwa barani Ulaya kwa mara ya pili ndani ya kipindi cha miaka mitatu baada ya kuifunga Manchester city kwa bao 1-0

Baada ya kutokuwa na ushindi wowote katika mzunguko wa kwanza, Real Madrid walianza kuongoza kipindi cha kwanza kufuatia mpira wa krosi uliopigwa na Gareth Bale kumbabatiza kiungo wa City Fernando na kuingia nyavuni.
Real Madrid sasa watakutana na Atletico Madrid katika uwanja wa San Siro tar 28 Mei, hii ikiwa ni kama marudio ya fainali za mwaka 2014 ambapo Real walishinda kwa mabao 4-1 baada ya muda wa nyongeza.






About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top