Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: YANGA YAANZA LIGI SASA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Yanga Sc imeanza vyema harakati za kutetea taji lake baada ya hii leo kuchomaka ni ya a ushindi mzito wa mabao 3 - 0 dhidi ya African Lyon k...

Yanga Sc imeanza vyema harakati za kutetea taji lake baada ya hii leo kuchomaka ni ya a ushindi mzito wa mabao 3 - 0 dhidi ya African Lyon katika mchezo uliopigwa katika uwanja wa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Bao la kwanza la yanga limewekwa nyavuni na Deus Kaseke akipokea pasi ya Simon Msuva dakika ya 18 ya mchezo.
Mabao mengine ya Yanga yamepatikana kipindi cha pili ndani ya dakika ya 14 kupitika kwa Simon Msuva na sekunde kadhaa kabla ya mpira kumalizika  kupitia kwa  Juma Mahadhi ambaye aliingia kipindi cha pili kuchukuwa nafasi ya Msuva.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top