Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: ZIFAHAMU TIMU ZOTE ZILIZOFUZU AFCON NA MAKUNDI YAO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Afcon ni michuono ambayo ujumuisha za afrika kama ilivyo ile michuano ya nchi za ulaya ijulikanayo kama Euro ambayo ilifanyika Ufaransa. Ha...

Afcon ni michuono ambayo ujumuisha za afrika kama ilivyo ile michuano ya nchi za ulaya ijulikanayo kama Euro ambayo ilifanyika Ufaransa.

Hatua ya kukamilisha upatikanaji wa timu hizo zinazo kwenda kushindana kwenye michuano hii hapo january uko Gabon imemaluzika jana.

Michuano hii ya Afcon itakayo fanyika katika nchi ya Gabon mnamo mwezi Januari itachukua nafasi kubwa katika mwaka huo kutokana na timu kuwa nyingi kuwa na ubora wa wachezaji ambao wengi wao wanacheza katika ligi za ulaya,Katika upande wa Afrika Mashariki timu ambazo zilizofanikiwa kufuzu ni timu 3 tu.

Haya ni Mataifa 26 yaliyo weza kufuzu michuano ya Mataifa Afrika.

GROUP A
★Tunisia
★Togo

GROUP B
★Congo Drc
★Central African Republic

GROUP C
★Mali
★Benin

GROUP D
★Burkina Faso
★Uganda

GROUP E
★Guinea-Bissau
★Congo

GROUP F
★Morocco
★Cape Verde

GROUP G
★Egypt
★Nigeria

GROUP H
★Ghana
★Rwanda

GROUP I
★Gabon
★Ivory Coast

GROUP J
★Algeria
★Ethiopia

GROUP K
★Senegal
★Burundi

GROUP L
★Zimbabwe
★Guinea

GROUP M
★Cameroon
★Maritania

Michuano hii itaanza rasmi Januari 14 mpaka Februari 5 huko nchini Gabon.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top