Image and video hosting by TinyPic Image and video hosting by TinyPic
 

Unknown Unknown Author
Title: 𝗚𝗦𝗠 𝗧𝗘𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗣𝗜𝗡𝗗𝗨𝗭𝗜 𝗖𝗨𝗣 🏆
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Uongozi wa Gsm kushirikiana na ZFA wapo katika mazungumzo yakudhamini Kombe la mapinduzi visiwani Zanzibar mwakani. Ikumbukwe Gsm msimu huu...


Uongozi wa Gsm kushirikiana na ZFA wapo katika mazungumzo yakudhamini Kombe la mapinduzi visiwani Zanzibar mwakani. Ikumbukwe Gsm msimu huu tayari wameshaidhamini ligi kuu visiwani humo. 

Habari njema kutoka ZFA Tayari wameshatoa mwaliko kwa timu nne kutoka Tanzania bara ambao ni 

-Yanga sc:Bingwa mtetezi 2021.
-Azam fc
-Simba sc
_Namungo fc

NB
Itakuwa je sasa na uku tutajitoa au?😆

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top