Offic
Katiba
mpya ya Yanga SC imepitishwa na SERIKALI ya Tanzania.
- Sasa ni rasmi mchakato wa kuunda mfumo wa kampuni unaanza.
- Muundo wa klabu unapaswa kubadilika kutoka kuwa na mwenyekiti kuwa na RAIS.
- Kutoka umuliki wa klabu 100% kwa wanachama kuwa 49% WAWEKEZAJI na 51% WANACHAMA.
- Pia kutoka muundo wa awali wa utawala EXCOM na kuwa na BOARD, katibu mkuu kuwa CEO.
- Mchakato ulikuwa umesubiri ruksa ya Serikali, sasa ni rasmi mfumo imebadilika Young Africans sports club 🙌
Post a Comment